Monday, September 20, 2010

NENO

Sheria yako naipenda mno ajabu, ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa; Maagizo yako hunitia hekima kuliko adui zangu, kwa maana ninayo sikuzote. Ninazo akili kuliko wakufunzi wangu wote, Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo, Ninao ufahamu kuliko wazee kwa kuwa nimeyashika mausia yako. Nimeiepusha miguu yangu na kila njia mbaya ili nitii NENO lako. Sikujiepusha na hukumu zako kwa maana wewe mwenyewe umenifundisha. Mausia yako ni matamu sana kwangu, kupita asali kinywani mwangu. Kwa mausia yako najipatia ufahamu. Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.
Oh, how i love your law! i mediatate o it all the day long, Your commands make me wiser than my enemies for they are ever with me. I have more insight than all my teachers for i meditate on your statutes. I have more understanding than the elders for i obey your precepts. I have kept my feet from every evil path so that i might obey your word. I have not departed from your laws for you yourself have taught me. How sweet are your words to my taste; sweeter than honey to my mouth. I gain understanding from your precepts therefore, i hate every wrong path.
Zidi kubarikiwa