Friday, March 25, 2011

Fanyika tawi lizaalo katika mzabibu.

Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na baba yangu ndiye mkulima. Kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa. Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia. Kaeni ndani yangu nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu, kadalika nanyi msipokaa ndani yangu. Mimi ni mzabibu ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana, maana pasipo mimi ninyi hamwezi neno lolote. Mtu asipokaa ..................................
Yohana 15:1-8